Yesu kwetu ni rafiki
Yesu kwetu ni rafiki
1. Yesu kwetu ni rafiki Hwambiwa haja pia,
Tukiomba kwa babaye, Maombi asikia
Lakini twajikosesha Twajitweka vibaya,
Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia.
1. Yesu kwetu ni rafiki Hwambiwa haja pia,
Tukiomba kwa babaye, Maombi asikia
Lakini twajikosesha Twajitweka vibaya,
Kwamba tulimwomba Mungu Dua angesikia.
1. Mbele ninaendelea ninazidi, kutembea
maombi uyasikie, Ee Bwana unipandishe.
Ee Bwana uniinue, Kwa imani nisimame,
Nipande milima yote ,Ee Bwana unipandishe .
1. Ni tabibu wa karibu Tabibu wa ajabu,
Na rehema za daima Ni dawa yake njema.
imbeni malaika sifa za Yesu Bwana
pweke limetukuka Jina lake Yesu
1. Sioni haya kwa Bwana, Kwake nitang’ara!
Mti wake sitakana, Ni neno imara.
1. Bwana u sehemu yangu Rafiki yangu Wewe,
Katika safari Yangu; Tatembea na Wewe
1. Cha kutumaini sina Ila damu yake Yesu
Sina wema wa kutosha dhambi zangu kuziosha.
Kwake Yesu nasimama, ndiye mwamba ni salama,
Kwake Yesu nasimama, ndiye mwamba ni salama
1. Liko lango moja Wazi,Ni lango la Mbinguni,
Na wote Waingiao Watapata nafasi.
Lango ndiye Yesu Bwana Wote Waingie Kwake,
Lango! LangoLa Mbinguni ni wazi.
1. Kumtegemea Mwokozi, Kwangu tamu kabisa,
Kukubali neno lake, Nina raha moyoni.
Yesu,Yesu namwamini, Nimemwona thabiti;
Yesu,Yesu,yu thamani, Ahadi zake kweli.